DAR ES SALAAM! Hii ni EXCLUSIVE stori! Kufuatia kelele kibao kutoka kwa wadau mbalimbali kwamba mtoto wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, yaani Latifah ‘Tiffah’ aliyemzaa na Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ si wa nyota huyo, hatimaye, jamaa ameamua kupima vinasaba ‘DNA’ (DeoxyriboNucleic Acid).
ISHU ILIKUWA AFRIKA KUSINI
Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, Diamond aliamua kutekeleza mpango huo nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ ambako aliamini hakuna ‘macho mengi’ ya watu, hususan mapaparazi.
SIKIA HII
“Jamani mimi nataka niwape stori ambayo ni ya uhakika. Hivi mnajua kwamba Diamond aliamua kwenda Sauzi kupima DNA yake na mtoto wake Tiffah?
“Kutokana na manenomaneno ya watu, ilifika mahali alichoka, akawa njia panda. Hivyo ili kuondoa figisufigisu, akamwambia Zari waende wakampime DNA mtoto na yeye. Ni kabla hajaenda Marekani.”
MAJIBU HAYA HAPA
Chanzo hicho kikasema: “Majibu ya DNA yamesema, Nasibu Abdul ni biological father (baba wa damu) wa mtoto Tiffah. Ilibidi jamaa amwage chozi maana alifikiria mengi, watu wamesema sana kuhusu yeye na Tiffah, kwamba si mwanaye, mara ni mtoto wa Ivan (Ssemwanga, mtalaka wa Zari), mara ni mtoto wa pedeshee mmoja wa Bongo. Yaani mengimengi yalisemwa.”
MAMA DIAMOND ASHANGAZWA
Chanzo hicho kikazidi kuweka wazi kwamba majibu hayo ya DNA yalimshangaza mama Diamond, Sanura Kasim ‘Sandra’ hasa kutokana na maneno yaliyosambaa katika jamii, kwamba kijana wake huyo alibambikwa mtoto.
DIAMOND NA AMANI
Baada ya madai hayo, gazeti hili lilijihangaisha kwa kuzingatia weledi ili kumpata Diamond mwenyewe kwa lengo la kumpa nafasi ya kujieleza kama taaluma inavyotaka kwamba anasemaje kuhusu kuwepo kwa habari hii mpya kabisa ya kupima DNA.
KUMSIKIA DIAMOND, BONYEZA HAPA
“Yeah! Unajua watu wamesema sana. Wametunga sana, mimi sikuwa na wasiwasi, niliamini mtoto ni wangu, ila ili kujiridhisha zaidi nikasema niende nikapime DNA yangu na ya mtoto.
“Tiffah ni mtoto wangu kabisa, nimefurahi kwa majibu. Ndiyo maana sasa nimejiachia, ukifika ofisini kwangu nimeweka picha zake kwenye fremu. Sina wasiwasi kabisa mimi si mtu wa mikono kichwani tena.”
MAHOJIANO
Amani: “Ni kweli ulitoa machozi?”
Diamond: “Siyo ishu, kama unaishi katika nchi yenye baadhi ya watu wanaozusha maneno kama yale halafu unagundua ni uzushi wao tu, kulia ni nini?”
Amani: “Unasema tangu awali ulijua Tiffah ni mtoto wako, kwa nini uliamua kwenda kupima DNA?”
Diamond: “Utamaduni wa kutopima ni sisi Wabongo tu, wenzetu mbele siyo ishu. Ni kujiridhisha kwa asilimia mia moja tu. Bongo ukimwambia mwenzio mkapime DNA ya mtoto, anaweza kukujia juu kwamba humwamini.”
KUHUSU PEDESHEE KUDAIWA NDIYE BABA WA MTOTO
Diamond: “Nimesikia wakisema hivyo, lakini mimi nataka kuwaambia kwamba, huyo pedeshee (jina lipo) hajawahi kuwa mtu wa Zari. Mimi ndiye ninayejua nini kilitokea! Hao wanaosema waache waseme tu.”
Amani: “Nini kilitokea? Gusia kidogo tafadhali.”
Diamond: (kwa tabu sana), “kifupi nilimzidi jamaa mahesabu, mimi nikaondoka na Zari. Ndiyo maana leo hii nampa heshima kwa sababu hakuwahi kufanya lolote hapa Bongo.”
KUHUSU IVAN
Amani: “Wanaposema Tiffah ni mtoto wa Ivan, wewe unachukuliaje?”
Diamond: “Ingewezekana vipi! Watu watofautiane, miaka ipite halafu waseme mtoto ni wake! Mimba inakaa tumboni kwa miaka mingapi?”
MAMA DIAMOND AMEANZA MAMBO YAKE
Juzi, Amani lilimpigia simu mama Diamond kwa lengo la kumuuliza kuhusu alivyojisikia baada ya majibu ya DNA kuonesha kuwa, Tiffah ni mjukwuu wake kabisa lakini simu yake iliita bila kupokelewa, licha ya kupigwa mara kadhaa. Tabia ya kutopokea simu alikuwa nayo zamani, hapo katikati akaiacha. Inaonekana ameirudia tena!
Na Mateja / GPL
Diamond, Tiffah Wapima DNA Sauzi
By Unknown
Finally, the cat has been let out of the bag after 9 months, as controversial Nollywood actress, Tonto Dikeh who had gone hiding after her marriage just announced the delivery of her first child.
The excited new mother who vehemently denied being pregnant on social media and press interviews, has been basking in the euphoria of her new motherhood status.
"Today I experienced the Greatest Miracle known to man. I can't begin to explain the joy I feel,it's super awesome. I bless the Lord almighty for his protection/Safety and Strength and the birth of my Baby. My Pregnancy was such a beautiful one (Stressfree,Lovely,Spiritually great,Healthy and safe)..
Please join me in welcoming my Baby into a perfect and loving World that GOD,My KINGKONG and I will create.. I Am overwhelmed and overjoyed,I am a Mother now..Woow that's something I never saw coming but God is indeed the master planner of our lives. His grace,Love.mercy, unlimited blessings, protection, Peace and so much more than I can express I have known & can testify to.
Thank you God(the father,the son and the HolyGhost) for this blissful journey..
I indeed gave birth like A Hebrew woman," she captioned the photo she shared on Instagram.
Well, although the news may sound surprising to many, but not to Nigeriafilms.com as our eagle had spotted a growing baby-bump during Tonto Dikeh's traditional marriage, in August 2015.
TONTO DIKEH now a mother?
By Unknown
The Rocket Man singer fell out with Sheila Farebrother in 2008 but paid for her double hip replacement surgery in January
Sir Elton John has scotched suggestions that his eight-year rift with his mother is healed by saying he does not want her in his life.
The Rocket Man singer fell out with Sheila Farebrother in 2008 and she was forced to hire an Elton tribute act for her 90th birthday party last year.
The row seemed to be easing after he revealed earlier this month that he sent her flowers on her big day. But Sir Elton, 68, has now said: “It upsets me but to be honest, I don’t miss her.
“When she says things in the press, like last year, ‘I haven’t spoken to Elton since he married that f****** a****** David Furnish’. That was pretty hard to take. I don’t hate my mother. I look after her but I don’t want her in my life.”
The bust-up came after Sheila refused to snub two of her son’s oldest friends, Bob Halley and John Reid, after he fell out with them. She then accused Sir Elton’s hubby David , 53, of turning him against her.
She said last year: “It was all so stupid, so petty.”
But despite the frosty years, Sir Elton paid £30,000 for Sheila, of West Sussex, to have a double hip replacement in January – and told the Mirror: “We’re back in touch and have been since mum’s 90th birthday.”
Meanwhile, Sir Elton has also opened up about his difficult relationship with dad Stanley Dwight, who died in 1991.
He told Rolling Stone magazine: “They wouldn’t hold you or say they loved you.
“I was afraid of my father. I was walking on eggshells the whole time, trying to get his approval. He’s been dead for a long time and I’m still trying to prove things to him."
Sir Elton John: I look after my mum but I don't want her in my life
By Unknown
Shilole akiwa na mpenzi wake mpya.
Baada ya hivi karibuni Shilole na Nuh Mziwanda kumwagana kisha kila mmoja kumwanika mpenzi wake mpya, sasa wasanii hao imekuwa ni full kuringishiana huku kila mmoja akidai amepata mtu sahihi
Nuh juzikati alisema kuwa, kwa Shilole alikuwa kapotea njia na sasa amempata mwenza sahihi aitwaye Erah Erah huku Shilole naye akitamba kuwa, mwanaume aliyempata ambaye anafahamika kwa jina la Medy Music ana kila sifa ya kuwa mume tofauti na Nuh.
“Hapa nimefika, huyu sasa ndiye mume wangu,” alisema Shilole kwa kifupi.
Hata hivyo, rafiki wa karibu wa Nuh aliitonya safu hii kuwa, kila wanapokutana wasanii hao wakiwa na wapenzi wao inakuwa ni mwendo wa kurushana roho tu.
Musa Mateja/ GPL
Shilole, Nuh na mapenzi ya kuringishiana?
By Unknown
Subscribe to:
Posts (Atom)




















