Jichagulie Mitindo mbalimbali ya Meza za Chakula (Dining table) za kisasa zinazoendana na wakati


Kinachoendelea sahizi instagram ni Mtifuano na ukorochoaji wa Maisha ya watu! Watu wapo busy,watu wapo katika pirika pirika za kutafuta ukweli kujua nini kinacho endelea kati ya Zari na Diamond na Diamond na Video queen wa Kwetu' Mama Diamond na mkwe wake na mawifi mtu!

Kama unavojua wabongo Umbea una nguvu kuliko Ripoti ya CAG insta kumechafuka.....Mama Diamond alianza kwa kufuta picha zote alizo post za Zari watu wakasema Mmmmmmmmh kuna kitu hapa,(mimi sidhani kama kufuta picha za mtu ni kitu kibaya lakini hakufuta za zari tuu mbona hata za wengine alifuta akaacha za Tiffa na Rommy tuu)

Wafuatiliaji wa mambo hawakuishia hapo wakasema Esma dada wa Diamond Ka muunfollow Zari (sina uhakika lakini Kwa usawahili wa huyu Dada nilishangaa kuona anapatana na Zari huyu ni mswahili mno na Diamond asipo kuwa Makini atamponza kwa uswahili wake)

Watu wakaendelea na story kwanini Zari hakutoa shout out kwa wimbo wa Raymond video ya Kwetu wakaguna wakasemaaa mmmmmmmmh hapa kuna kitu huenda Diamond anatoka na yule video queen wa hio video(Sioni tatizo tukumbuke Video ilitoka wakiwa bsy ulaya hata Mama Dai naye hajatoa Shout out kwenye video na hata picha alio post kuhusu hio video hamna)

Wafuatiliaji wa Mambo wakasema ishu ilianza kutokea world tour kuwa wakati wa kurudi kila mtu alipita njia yake Mama Diamond na Zari (mimi sioni Tatizo as long as Zari anaishi South Africa huenda alichukua ndege moja kwa moja hadi South na Mama Dai akaja bongo)

Juzi juzi hapa Dai na Zari wamepost picha zao wakionesha they are happy na mahusiano yao so Sidhani kama kuna kitu hicho ingawa leo bado hawajapost chochote

Kimbembe ni pale Mama Dai alipo like picha ya Video queen(anaesadikika kutoka na Dai)

Watu wakaendelea kupagawa na kuona kama yasemwayo yanaukweli baada ya video queen kupost picha hizi (Lakini ameshazifuta ila wajanja waliwahi)


MTAZAMO
Kama Dai atakuwa kweli kaamua kuachana na Zari (Sidhani kama kitatokea) na kuja Kutoka na Video queen kwanza atakuwa amejishushia heshima yake hata kama Mama Dai ndo anampenda huyo video queen!, pili Dai atakufa Maskini maana wabongo huyo video queen atahamishia hadi ukoo wake pale white house sasa itakuwa bila bila Dai yupo na kijiji chake na huyu yupo na Kijiji chake!

Kingine ni kuwa Dai akae na dada zake na Mama ake awambie wapunguze uswahili kwa Zari! Utakuja kumponza Esma ni mswahili sana bora hata Halima! Esma yake yanamshinda anataka kuvuruga ya watu,pia Mama ake hata kama Insta kaikutia ukubwani Apunguze uswahili mwanae ashakuwa super star,yeye atulie afaidi matunda basi uswahili wakumuamlia atoke na nani ni ujinga na atampotezea mwanae Heshima!

Pamoja na kuwa zari ni mvumilivu namshauri Dai apunguze watu wakukaa nae Nyumbani kwake ana nyumba nyingi sio kila mtu lazima akae nae hata kama huruma sasa zinazidi! Ile ni nyumba yake na mke wake ndo maana ya mke,mama mkwe awe na nyumba yake,dada zake pia na ndugu wengine zari atakuwa anakosa uhuru ajifunze mbna Zari haleti ndugu zake! Ndoa ni kitu nyeti sana!

Napinga kwa asilimia 80% kuwa Dai anataka kumtosa Zari kwenda kwa video queen mtoto! Lakini ngoja tuone hii ngoma itaishia wapi

Reality Tv show ya Daimond huenda ikawa inatafutiwa Kiki kwa njia hii,mama Dai wabongo asha wajua kuwa akitoa Show yake hyo itauza maana wengi wanapenda umbea so huenda ni kiki

Mchezo huu hauhitaji hasira

Imeandikwa na Danya

Video Queen wa Diamond aharibu mahusiano ya Diamondi na Zari? Pia Umbea na Uswahili wazungumziwa kuchangia magomvi yao....

Sealed with a kiss: Lenny Kravitz planted a smooch on Naomi Campell's shoulder as she signed copies of her self-titled coffee book at her Taschen bookstore signing in Beverly Hills on Thursday

Pretty in pink! The 45-year-old supermodel looked youthful in a flirty pink dress and put on a flirty display of her own as she messed around with old friend Lenny
 Twice as nice: The pair continued their amorous display at Gigi Hadid's 21st birthday party at the Nice Guy in West Hollywood, which they dashed to following the book signing

Making moves: Slipping her arm through his, the Vogue covergirl seemed in good spirits on the evening, beaming broadly and laughing
Laugh a minute: The pair couldn't stop laughing as they headed home with Lenny's arm rested around her shoulder 

Full story click here

Love on air?? He's in her good books! Lenny Kravitz and Naomi Campbell spark romance rumours as he plants a cheeky kiss on her shoulder at signing event

Uliiona hii? Idris Sultan alifanya Mahojiano na Television ya Kenya na kuweka bayana kilichotokea kati yake na WEMA SEPETU






 



  
  

Mitindo ya nywele fupi kwa Wanawake wa Kiafrika


Kama kuna watu wanaandikwa kwenye Social media kwa Tanzania basi WEMA SEPETUNGA atakuwa katika kumi bora......  Naona sasa watu wameandika ya nje wamehamia mwilini tena na sasa hivi wamehamia kwenye makalio na sio ngozi!!!  Mitandaoni mwezi huu kumejaa madai  kuwa Msweet huyo  au  Miss Tanzania 2006,  ana liwowowo  kubwa kumzidi  na sio yote bali moja linaonyesha kuelemea kiasi cha watu kusema anatumia  dawa za KICHINA..... hali hii imeonyesha kuwafadhaisha watu wengi wa karibu ikiwemo na Mama  yake mzazi kiasi cha kuamua kuanika ukweli hadharani......

MADAI YALIPOANZA
Mashoga wanena, alianza na kuongeza unene, sasa kahamia kwenye makalio ili awe na wowowo. Manenomaneno hayo yakazidi kushika kasi zaidi kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kitu ambacho kinadaiwa kuikosesha amani familia ya staa huyo na hata yeye mwenyewe. Kulikoni jijini Mwanza, Pati ya Instagram yazua mjadala. Wa mtandaoni wao wanasema Wema anatumia dawa za Kichina kukuza ‘tela’ lake.

WEMA ALIPOTAFUTWA
Agoma kupokea simu. Agoma kujibu ujumbe.

MAMA YAKE MZAZI SASA
“Nawashangaa wanaomsema vibaya mwanangu kuwa amejaladia (wowowo), wengine wanasema anatumia dawa za KICHINA  hakuna ukweli wowote kwani Wema ni mwanangu, namjua alivyo. Hakuna kitu alicho-ongeza kwenye mwili wake.”


Mama yake WEMA SEPETU aja juu kuhusu Kalio FAKE la mwanawe


Detectives are investigating the star's death after he was found at his Paisley Park recording studios

Prince was found dead at his Paisley Park estate this morning.

Police confirmed the 57-year-old music icon's lifeless body was found at his home and recording studios in Minnesota just before 10am.

Detectives are investigating the circumstances behind the sudden death that has devastated millions of fans across the globe.

Carver County chief deputy Jason Kamerud said police responded to a medical call at 9.43am and the crime lab and medical examiner are on scene.

A harrowing 911 has been released where an operator can be heard saying that there is a "male down, not breathing" at the singer's address.

The local sheriff was called into work on his day off, Radar Online reports.

A police officer later tweeted: "Prince Rogers Nelson (57) found dead at Paisley Park Studios in Chanhassen, MN. We are investigating the circumstances of his death."

It was later confirmed the pop icon died this morning at his Paisley Park mansion in Minnesota.

Dozens of devastated fans gathered outside of his home to pay tribute to the music icon.

Celebrities and fans have flooded social media with tributes, with Katy Perry tweeting: "And just like that...the world lost a lot of magic. Rest in peace Prince! Thanks for giving us so much..."

The news comes days after the singer was released from hospital after a bout of flu.

After his sold-out performance in Atlanta on Thursday, April 14 his private jet made an emergency landing at Quad City International Airport in Illinois.

From there the Purple Rain star was taken to hospital.

According to TMZ, he was released three hours later, returned to his plane and was taken home.

Just days later he held a party for fans at Paisley Park.

News broke this afternoon that a body had been found at the star's home but officials were unable to confirm that it was Prince who had died as his next of kin had not yet been informed.

Later the global icon's publicist confirmed the tragic news.

A reporter from local TV station KSTP, Farrah Fazal, tweeted this afternoon: "BREAKING: Deputies say they are now doing "death investigation" at Prince's PaisleyPark recording studios near Minneapolis. @ KSTP."

Mirror

Prince found dead at his party mansion and recording studios in Minneapolis

Mahojiano ya DIVA na kipindi cha Mkasi...afunguka mambo mengi msikilize hapa







Ciara and Kelly Rowland and their sons met up for a fun day in the park.

The pop stars spent time with their cute toddlers on the playground at Coldwater Canyon Park in Beverly Hills on Thursday.

Ciara, who recently became engaged to NFL star Russell Wilson, brought her 23-month-old son Future Jr, while Kelly was with 17-month-old son Titan.

The couple chose to abstain from sex before marriage, saying they wanted to focus on their emotional connection.
Ciara and Future are engaged in a nasty custody battle over their son and are suing each other in a defamation lawsuit.

Earlier this year, Ciara sued Future seeking for $15 million for libel and slander, saying he implied she was a bad mother who prevented him from seeing his son and called her a 'b****' on Twitter and in his music.

This week, it emerged the rapper has counter-sued Ciara, arguing that he couldn't have defamed her because her reputation is already that of a has-been. He also wants her to pay legal fees.

On Thursday, the Body Party singer put the legal drama behind her as she enjoyed some quality time with her son.

The singer dressed down in black jogging pants and tied a red jacket around her waist as she pushed Future, Jr - who turns two next month - on the swings.

And she kept a close eye on the toddler, who appeared to be having a blast on the playground slide.

Ciara left her light brunette hair down and added sunglasses.
Kelly, 35, looked relaxed in grey Nike tracksuit pants and a black tank top that showed off her toned arms.

Kelly pulled her hair up in a bun and added a silver star necklace.

The singer smiled as she held 17-month-old son Titan in her lap as they played on the swing.
The former Destiny's Child singer shares her son with husband Tim Witherspoon.

Titan looked cute with a Wu-Tang Clan shirt, ripped jeans and yellow-and-black high top sneakers.

Dailymail

Pop star playdate! Ciara and Kelly Rowland dress down for fun day in the park with their sons

Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ akiwa ofisini picha ndogo kulia kukiwa na fuvu katika ofisini kwake.

Dar es Salaam: Wakati mwenyewe akikanusha vikali kwamba hatumii ndumba kwenye muziki wake ambao sasa umemfikisha mbali kimataifa, staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’, ameshikwa uchawi kufuatia kukutwa laivu kwa fuvu linalodaiwa ni la binadamu ndani ya ofisi zake.

TUJIUNGE OFISINI KWA DIAMOND
Mapema wiki hii, vyanzo mbalimbali ambavyo ni wageni waliofika kwenye ofisi za mkurugenzi huyo wa Kampuni ya Wasafi Classic Baby (WCB), Diamond au Mond zilizopo Mapambano-Sinza jijini Dar, vilitonya kuwa, wengi walishtushwa na fuvu hilo baada ya kuliona mezani kwa mwanamuziki huyo.

MTOA UBUYU
“Haloo…Hapo ni Gazeti la Risasi tuwape ubuyu? Kuna ishu tumeishuhudia kwa macho yetu hapa ofisini kwa Diamond. Hata sisi imetushtua,” kilisema chanzo hivyo Risasi Jumamosi likataka kujua ni kitu gani?
Risasi Jumamosi: Ndiyo, hapa ni Risasi Jumamosi. Unamaanisha ofisi za Wasafi hapo Mapambano? Kuna ishu gani?

FUVU LA BINADAMU?
Chanzo: Ndiyo hapa WCB, kwanza Diamond mwenyewe yupo. Ukifika ofisini kwake, tena kwenye meza yake (Diamond) mwenyewe kuna fuvu la binadamu kabisa.
Risasi Jumamosi: Una uhakika ni fuvu la binadamu kweli au ni kitu kingine?
Chanzo: Jamani ni fuvu la binadamu kabisa lenye mifupa. Inawezekana ndiyo chanzo cha utajiri wake na skendo inayomkabili ya uchawi katika kazi zake. Ninyi fuatilieni mtapata ukweli.

RISASI JUMAMOSI KAZINI
Risasi Jumamosi: Oke tuachie tulifanyie kazi.
Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, gazeti hili lilituma shushushu wake ndani ya ofisi hizo ambaye alilishuhudia fuvu hilo likiwa mkono wa kushoto mezani kwa Diamond huku jirani yake kukiwa na picha ya mwanaye, Latiffah Nasibu ‘Princess Tiffah’ iliyokuwa kwenye fremu.
“Ni kweli kuna fuvu la binadamu mezani kwa Mond (Diamond) but (lakini) sikufanikiwa kulishika kwa mikono yangu,” alisema shushushu wetu.

SHUHUDA MWINGINE
Mbali na shushushu wetu, shuhuda mwingine aliyehudhuria hafla ya kusaini mkataba wa dili jipya alilosaini Diamond la Ubalozi wa Tomato Sauce ofisini kwake hapo alilithibitishia gazeti hili kuwepo kwa fuvu hilo lilozua gumzo kwa mashuhuda wachache wa tukio hilo.

“Hata mimi nimelishuhudia hilo fuvu kwa macho yangu wala sijasimuliwa na nina picha zake kwenye simu yangu (huku akiperuzi kwenye smartphone). Kiuweli limezua sana minong’ono. Baadhi ya watu wanadai ni mambo ya uchawi na wengine wanasema ni moja ya alama ya Freemasons (jamii ya siri inayohusishwa na utajiri). Unajua fuvu la binadamu ni moja ya Alama za Freemasons na kama unavyojua Diamond amekuwa akitajwatajwa.

“Wapo wengine wanadai labda mambo hayo ndiyo chanzo cha utajiri wa jamaa (Diamond) wa ghafla lakini yeye mwenyewe ndiye mwenye kuufahamu ukweli.

“Lakini unajua kunapokuwa na ishara kama hizi (kukutwa kwa fuvu) ni rahisi sana kwa mashabiki wake ambao ni wengi kuhusisha na huu utajiri wake unaotajwa kufikia (shilingi) bilioni nane kwa sasa,” alidai shuhuda huyo.

DIAMOND AFUNGUKA
Baada ya kupokea ushuhuda na madai hayo mazito ya Diamond kuhusishwa na uchawi na Freemasons kufuatia kukutwa kwa fuvu hilo ofisini kwake, gazeti hili lilimfuata Diamond ofisini kwake lakini alikuwa ametoka.

Alipotafutwa kwa njia ya simu alifunguka kwa kifupi huku akidai kuwa fuvu hilo ni pambo tu kama mapambo mengine.

“Ni urembo au pambo kama mapambo mengine, hakuna kitu kama hicho,” alisema Diamond na alipobanwa kueleza alikolitoa na gharama zake alisema: 
“Usidanganyike, hakuna anayeweza kumuweka mtu juu zaidi ya Mwenyezi Mungu.
“Mimi naswali sana na namtegemea Mungu kwa kila kitu na kweli ananipigania.
“Unajua watu wengi wamekuwa wakizungumza oooh…natumia uchawi lakini ukweli ni kwamba maombi, ubunifu, juhudi na heshima ndivyo vitu vinavyoweza kumfanya mtu yeyote kupata mafanikio katika kitu akifanyacho au jambo alifanyalo.”

HUKO NYUMA
Mara kadhaa Diamond amekuwa akihusishwa na matumizi ya nguvu za giza katika kufanikiwa lakini amekuwa akisisitiza kuwa siri ya mafanikio yake ni kujituma, kutafuta fursa na kuipenda kazi yake ya muziki ili sanaa ya Bongo ifike mbali.

Sifael Paul na Musa Mateja,
Risasi Jumamosi

Diamond ashikwa uchawi

'Till death do us part-y! Busty Blac Chyna whispers sweet nothings to Rob Kardashian as they throw extravagant engagement bash

Lulu

Mama Kanumba

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anadaiwa kulinogesha bifu lake na mama wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegeo kufuatia posti yake ya hivi karibuni akiashiria kumtisha mama huyo.

Lulu juzikati alitupia ujumbe mtandaoni akimjibu mmoja wa mashabiki wake aliyeuliza sababu ya yeye na mama Kanumba kutoiva ambapo aliandika:  “…ni hivi mimi siyo chizi jamani kila ninachokifanya nakijua vizuri tu, mimi ndo’ najua ‘what’s going inside’ (nini kinachoendelea) nyinyi wa nje yasikieni hivyohivyo, sitajibu watu wala mhusika mwenyewe ila siku ikifika nitaongea.”

Baada ya kupostiwa kwa ujumbe huo, mashabiki walimjia juu Lulu wakieleza kuwa, hana sababu ya kumtisha mama Kanumba badala yake kama kuna lililo moyoni mwake aliseme kuliko kukaa kimya.
“Huku sasa ni kumtisha mama wa watu, kama analo jambo aliseme watu wajue sababu ya bifu lao,” alisema mmoja wa mashabiki.

Baada ya kulipata hilo paparazi wetu alimtafuta mama Kanumba na kumuuliza juu ya maneno hayo yaliyotafsiriwa kuwa ni ya vitisho kwake ambapo alifunguka: “Namshangaa sana huyu mtoto, ana siri gani nzito baina yangu mimi na yeye, sina siri naye huenda anataka kutoa siri ya kifo cha mwanangu aitoe basi, tena aitoe haraka hiyo siri wala asisubiri hiyo siku ifike. “Tena itakuwa vizuri akiita vyombo vya habari na kuianika kama ni kubwa hivyo au aniite aniambie, nimemuacha na maisha yake ananifuatafuata sitaki kabisa.”
Kwa upande wake Lulu alipotafutwa kuzungumzia ishu hiyo alijibu kwa kifupi; “Nimeshasema sitaki kuongea na mtu yeyote kwa sasa, tena wewe mwandishi ‘nimeshaku-block’ nashangaa unanipigia kwa namba nyingine.”

Na Mayasa Mariwata, Risasi Jumamosi

LULU ana bifu na Mama Kanumba?

  • They have 'hooked up recently' in Los Angeles, according to People.com
  • The reality star and the singer have been 'on and off for months'
  • When they get together, she has someone watch her three children
  • They were first linked in October after going on a few dates in LA

They can't quit each other: Kourtney Kardashian (above on Wednesday in NYC) and Justin Bieber (bellow in Atlanta on Tuesday) have been secretly 'hooking up' again, according to a new report from People


Same place, same time! Kourtney and Justin hit the same Purpose after party at Warwick night club in Hollywood later that night


Same place, same time three months ago! The TV star and the music man both at The Nice Guy on January 27

On a date: The pop star and the reality diva seen leaving The Nice Guy in West Hollywood in October

They had fun together: Earlier that night, the unusual duo hit a theme park

Kourtney Kardashian sure seems to be one sly devil.

The 36-year-old Keeping Up With The Kardashians has been talking about possibly reuniting with love rat ex Scott Disick, who she split from in the summer of 2015 after nine years and has been seen with often, most recently in Vail. They have three children together.

But all the while the E! princess has been sneaking off to see 22-year-old Justin Bieber, according to a new report from People. 'They have been hooking up on and off for a few months now,' a source said. The beauty reportedly started dating the What Do You Mean hit maker in October.

The site claimed the star, who turns 37-years-old on Monday, has been seeing the Sorry singer when he is in Los Angeles.

No specific dates were given, but the sister of Kim, Khloe, Kendall and Kylie was spotted at the Canadian pop star's LA concert for his Purpose World Tour on March 24.

The two have also been at their hangout The Nice Guy in West Hollywood at the same time in recent months but smartly neither arrived nor left together. 

The source added: 'They have hooked up a few times, including recently. It happens in L.A. He has met her kids, but they don't hook up around the kids. It's on nights when she has help and is able to go out.'
Her children include daughter Penelope, aged three, and sons Mason, aged six, and Reign, aged one. 
'Kourtney is great. Justin thinks it's cool that she is older and hot. She isn't clingy and has her own life,' the source said. He has also been linked to model Hailey Baldwin.

'There are no bad consequences for Justin to hook up with her. She is very easy going and just makes it fun for him to be around her.'

In December another source told People being with Kourtney - who looks a bit like his ex Selena Gomez, 23 - was a 'huge ego boost' for him.

No wonder Kourtney has been showing off a much sexier side lately. 

On Wednesday the beauty was at it again as she shared three lusty images on Instagram where she was wearing kinky boots while posing seductively in a fur covered chair. 

The Dash Doll showed off plenty of thigh as she posed in what looked to be uncomfortable positions. The star was in the Kardashian's New York residence.

Kourtney was in Manhattan for promotional purposes and did not bring her children. Sister Khloe babysat instead.

Bieber also showed off a sexy image on Friday with his shirt off on a boat. 

On Thursday the eldest Kardashian sister shared a look at her 20th birthday on her website kourtneykardashian.com.  

See more of the latest Kourtney Kardashian updates as she poses in kinky boots 
The reality maven was seen leaving New York City the day before.    The Keeping Up With The Kardashians star was followed by fans when leaving a New York airport.  

Kourtney wore a light grey sweater with long button-less coat that made her look ready for a winter wonderland. Dark jeans and pointy velvet boots added an some Los Angeles edge. 

See Kourtney Kardashian updates as she is followed by fans when landing in NY
During her appearance on the show, Kathie Lee Gifford and Hoda Kotb grilled Kourtney on whether or not she and Scott Disick are getting back together. 

The reality couple split over the summer after he got close to an ex.
And while she kept coy about her relationship, the beauty did suggest that there could be hope for her and Scott in the future.

'I don’t know,' Kourtney said. 'We’re not getting back together right now, but I don’t know what the future holds in life.'

She added: 'But we’re just doing our best to be the best parents. He came with us to Vail and it was great, but we’re friends at this point. We talk all the time.'

Kourtney was there to promote the upcoming 12th season of Keeping Up With The Kardashians, which premieres on E! on May 1.

See Kourtney Kardashian updates as she heats up rainy NYC in tight top and pencil skirt  
She also revealed that she recently gave up dairy and praised the benefits of Manuka honey.

Kourtney jetted to New York shortly after a holiday to Vail, Colorado, which she said was 'amazing'.

But while the famous family were joined by cameras for their reality show on this trip, the star revealed that she hopes to start an annual tradition of getting away from the spotlight.

'Every summer, I want to start like getting a house in the middle of nowhere – like literally in the woods,' she said.

Secret romance continues! Kourtney Kardashian, 36, 'has been seeing Justin Bieber, 22, off and on for months when he's in LA'... after dating rumours kicked off in October