Kuna wanandoa wanaishi maisha ya ajabu sana mathalani unaweza ukamkuta Mwanamke anatumia tendo la ndoa kama sehemu ya kujihami na kufikishia hisia zake kwa mumewe Mara kwa Mara na kuna wakati anaamua hata kumnyima mwenzi wake anapohitaji ili mradi tu aweze kufikisha hoja take mezani.

Hii ni kwa pande zote lakini upande wa Dada zetu ukifuatilia utagundua kuna tofauti.

Kufanya hivyo ni utoto wa tafakuri na kujiharibia taratibu,ni kama kujilipua mwenyewe.

Unamkuta MTU hakuambii chochote ila mkiwa kwenye burudani anakuibulia hoja ya ajabu inayofikia hatua ya kuharibu kabisa mkururo wa hisia za raha Kiswahili cha mitaani wanasema "anakukata stimu"huu ni ujinga mkubwa sana kama ukiendelezwa ni rahisi sana wanandoa kuchokana na kutofurahia tendon la ndoa ambalo ni zawadi yao wote.

Tubadilike zama zimebadilika sana.

Wanandoa kutumia tendo la ndoa kama silaha ni ujinga.


Kuna wanandoa wanaishi maisha ya ajabu sana mathalani unaweza ukamkuta Mwanamke anatumia tendo la ndoa kama sehemu ya kujihami na kufikishia hisia zake kwa mumewe Mara kwa Mara na kuna wakati anaamua hata kumnyima mwenzi wake anapohitaji ili mradi tu aweze kufikisha hoja take mezani.

Hii ni kwa pande zote lakini upande wa Dada zetu ukifuatilia utagundua kuna tofauti.

Kufanya hivyo ni utoto wa tafakuri na kujiharibia taratibu,ni kama kujilipua mwenyewe.

Unamkuta MTU hakuambii chochote ila mkiwa kwenye burudani anakuibulia hoja ya ajabu inayofikia hatua ya kuharibu kabisa mkururo wa hisia za raha Kiswahili cha mitaani wanasema "anakukata stimu"huu ni ujinga mkubwa sana kama ukiendelezwa ni rahisi sana wanandoa kuchokana na kutofurahia tendon la ndoa ambalo ni zawadi yao wote.

Tubadilike zama zimebadilika sana.

No comments:

Post a Comment