IKIWA ni siku kadhaa baada ya mwanamuziki Koffi Olomide kufukuzwa nchini Kenya kwa kumpiga mnenguaji wake, Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Rhumba, raia wa Jamhuri ya Kidemokasia ya Kongo, Defao Matumona ‘General Defao’ leo amezuiliwa kwenye hoteli moja iliyopo mjini Mombasa nchini Kenya baada kushindwa kulipa bili kiasi cha Ksh 20,000.
Defao Yamkuta Kama ya Koffi, Akamatwa Kenya
By Unknown
Subscribe to:
Posts (Atom)