Finally, the cat has been let out of the bag after 9 months, as controversial Nollywood actress, Tonto Dikeh who had gone hiding after her marriage just announced the delivery of her first child.

The excited new mother who vehemently denied being pregnant on social media and press interviews, has been basking in the euphoria of her new motherhood status.

"Today I experienced the Greatest Miracle known to man. I can't begin to explain the joy I feel,it's super awesome. I bless the Lord almighty for his protection/Safety and Strength and the birth of my Baby. My Pregnancy was such a beautiful one (Stressfree,Lovely,Spiritually great,Healthy and safe)..

Please join me in welcoming my Baby into a perfect and loving World that GOD,My KINGKONG and I will create.. I Am overwhelmed and overjoyed,I am a Mother now..Woow that's something I never saw coming but God is indeed the master planner of our lives. His grace,Love.mercy, unlimited blessings, protection, Peace and so much more than I can express I have known & can testify to.

Thank you God(the father,the son and the HolyGhost) for this blissful journey..

I indeed gave birth like A Hebrew woman," she captioned the photo she shared on Instagram.

Well, although the news may sound surprising to many, but not to Nigeriafilms.com as our eagle had spotted a growing baby-bump during Tonto Dikeh's traditional marriage, in August 2015.

TONTO DIKEH now a mother?

Row: Sir Elton John with his mum Sheila in 2002


Couple: Sir Elton and David Furnish

The Rocket Man singer fell out with Sheila Farebrother in 2008 but paid for her double hip replacement surgery in January

Sir Elton John has scotched suggestions that his eight-year rift with his mother is healed by saying he does not want her in his life.

The Rocket Man singer fell out with Sheila Farebrother in 2008 and she was forced to hire an Elton tribute act for her 90th birthday party last year.

The row seemed to be easing after he revealed earlier this month that he sent her flowers on her big day. But Sir Elton, 68, has now said: “It upsets me but to be honest, I don’t miss her.

“When she says things in the press, like last year, ‘I haven’t spoken to Elton since he married that f****** a****** David Furnish’. That was pretty hard to take. I don’t hate my mother. I look after her but I don’t want her in my life.”

The bust-up came after Sheila refused to snub two of her son’s oldest friends, Bob Halley and John Reid, after he fell out with them. She then accused Sir Elton’s hubby David , 53, of turning him against her.

She said last year: “It was all so stupid, so petty.”

But despite the frosty years, Sir Elton paid £30,000 for Sheila, of West Sussex, to have a double hip replacement in January – and told the Mirror: “We’re back in touch and have been since mum’s 90th birthday.”


Meanwhile, Sir Elton has also opened up about his difficult relationship with dad Stanley Dwight, who died in 1991.

He told Rolling Stone magazine: “They wouldn’t hold you or say they loved you.

“I was afraid of my father. I was walking on eggshells the whole time, trying to get his approval. He’s been dead for a long time and I’m still trying to prove things to him."

Sir Elton John: I look after my mum but I don't want her in my life

Viatu vya Harusi vya Kiume

Shilole akiwa na mpenzi wake mpya.


Baada ya hivi karibuni Shilole na Nuh Mziwanda kumwagana kisha kila mmoja kumwanika mpenzi wake mpya, sasa wasanii hao imekuwa ni full kuringishiana huku kila mmoja akidai amepata mtu sahihi

Nuh juzikati alisema kuwa, kwa Shilole alikuwa kapotea njia na sasa amempata mwenza sahihi aitwaye Erah Erah huku Shilole naye akitamba kuwa, mwanaume aliyempata ambaye anafahamika kwa jina la Medy Music ana kila sifa ya kuwa mume tofauti na Nuh.

 “Hapa nimefika, huyu sasa ndiye mume wangu,” alisema Shilole kwa kifupi.

Hata hivyo, rafiki wa karibu wa Nuh aliitonya safu hii kuwa, kila wanapokutana wasanii hao wakiwa na wapenzi wao inakuwa ni mwendo wa kurushana roho tu.

Musa Mateja/ GPL

Shilole, Nuh na mapenzi ya kuringishiana?


MWANAMITINDO maarufu nchini Marekani ambaye  ni mdogo wake Kim Kardashian, Khloe, amedai kwamba yupo tayari kuolewa tena na mume wake wa zamani, Lamar Odom.

Wawili hao walishafunga ndoa ila uhusiano wao uliingia dosari baada ya Lamar kujihusisha katika matumizi ya dawa za kulevya, hivyo mrembo huyo aliomba kupewa talaka lakini akasitisha mara baada ya kijana huyo kupelekwa hospitali baada ya kuzidisha madawa ya kulevya katika danguro na kupoteza fahamu Oktoba, mwaka jana.

“Naweza kusema sijui nini kinaweza kutokea siku ya kesho, lakini nimejifunza kwamba kama unataka kumchekesha Mungu mueleze mipango yako ya kesho.

“Nilikuwa kwenye uhusiano na Odom na nitaendelea kuwa naye daima bila ya kujali nini kimetokea, ninaamini chochote kinaweza kutokea, bado nina ndoto za kuolewa na yeye na atakuja kunioa tena,” alisema Khloe.

Mdogo wa Kim Kardashian aomba kuolewa na mume wake wa zamani kwa mara ya pili

Viatu vya Maharusi wakike


Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ukipenda muite mama Tiffah, amekwaa skendo ya kutumia makalio feki kila anapokuwa kwenye mtoko.

Mjadala wa muonekano wa Zari ulianzia siku alipomsindikiza Diamond kusaini mkataba mnono wa Kampuni ya Vodacom ambapo akiwa amevalia kigauni chake chekundu, alionekana kuwa na ‘zigo’ kuliko alivyozoeleka.

Licha ya siku hiyo Zari kuwashangaza wengi, mjadala ukahamia kwenye mitandao ya kijamii ambapo baadhi ya wadaku walitupia picha za hivi karibuni zinazomuonesha akiwa hajajaladia kisha kuunganisha na ile aliyovaa kigauni chekundu akiwa amekumbatiwa na Diamond.

Hata hivyo, wengi walioziona picha hizo walitilia shaka mzigo aliokuwa nao Zari siku hiyo na kuishia kusema kuwa, huenda kila akitoka anavaa makalio feki ambayo wanawake wengi wa mjini huyatumia.

“Haya siyo orijino, Zari namjua vizuri, hili kalio ni feki, itakuwa kila akitoka anajaladia,” alisema mmoja wa wadau aliyejitambulisha kwa jina la Zahara.

Kufuatia mjadala kuwa mkubwa, juzi Zari alivunja ukimya na kueleza kuwa, wala hatumii makalio hayo feki bali umbile lake ni orijino na hajabadilika tangu alipokuwa mjamzito, alipojifungua na alivyo sasa, kisha akatupia picha mbalimbali zinazomuonesha makalio yake.

“Huwa situmiagi hayo makalio feki, umbile langu ni orijino kabisa ona tangu nikiwa na ujauzito mpaka leo hii,” alisema Zari.

Naye Diamond alipozungumza na Ijumaa kuhusiana na mzazi mwenzake huyo kutuhumiwa kutumia makalio feki alisema: “Mimi namjua vizuri Zari kuliko mnavyomjua, kama ni zigo, ni orijino. Watu wanashindwa kuangalia mtu kapozi vipi na kavaa nini kwani hayo yanabadilisha muonekano wa mtu.”

Na Musa mateja, GPL

Zari atumia Makalio feki?



Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper na mpenzi wake Mkongo, wamedaiwa kuuza magari yao na kutimkia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.

Chanzo makini kilichoomba hifadhi ya jina, kimepenyeza ubuyu kuwa miezi kadhaa iliyopita, maisha ya Wolper na Mkongo huyo yalibadilika na kuwa magumu hivyo katika kusaka suluhisho la kujikwamua, wakaamua kuuza magari yao na kwenda kuanzisha maisha mapya Sauz.

“Jamani mambo hapa kati hayakuwaendea vizuri Wolper na mpenzi wake hivyo waliamua kutimkia Sauz lakini waliuza magari yao na kwenda kuendelea na maisha mengine huko maana Mkongo alikuwa pia na makazi kule,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kuinyaka habari hiyo gazeti hili liliwasiliana na Wolper kwa njia ya simu ambapo alikiri kuwa yupo Sauz na mpenzi wake Mkongo lakini akakana vikali suala la wao kuuza magari.

“Jamani kwa nini watu wako hivyo mimi sijauza gari langu lolote kama huamini nenda nyumbani utayakuta watu wanapenda sana kuzungumza vitu ambavyo hawana uhakika navyo kabisa.

“Tuliamua tu na mpenzi wangu tubadili maisha, tuhamie huku Sauz na si kwamba maisha Bongo yalikuwa magumu,” alisema Wolper.

GPL
PICHA  : UDAKU SPECIAL

Baada ya Maisha kuwa Magumu BONGO Woldper na Mpenziwe mkongo wakimbilia Afrika ya Kusinice

All over? Luther star Idris Elba has reportedly split from his longtime girlfriend Naiyana Garth. The pair are pictured together at the 71st Annual Golden Globe Awards in Los Angeles in January 2014

 Family support: Garth was noticeably absent from his side at the SGAs, where the star was accompanied by his 13-year-old daughter Isan, his child with ex-wife Dormowa Sherman. Idris and Isan are pictured last year

Friends night out: News of their separation comes after the hunk was spotted enjoying a night out with supermodel Naomi Campbell. The pair have been pals since 2014 (the pair are pictured last week in London)


Full story click  here

Idris Elba 'splits from the mother of his son Naiyana Garth' after he was spotted enjoying a night out with supermodel Naomi Campbell

Suti za harusi kwa Wanaume


 Kiba na Jokate

Jokate na mama Kiba wakiwa kwenye picha ya pamoja pamoja na dadaake kiba 

Malovee tena! Siku chache baada mwanamitindo Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ na Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’, kumwagana, hatimaye habari za chini ya kapeti zimevuja zikidai kwamba Jokate ameamua kumwangukia mama mzazi wa Kiba ili kunusuru penzi hilo na sasa mapenzi yamerudi upya.

Tukio hilo lililonaswa na vyanzo vyetu lilijiri usiku mnene wikiendi iliyopita katika Hoteli ya Slipway iliyopo Oysterbay, Dar mara tu baada ya Kiba kuzindua video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Lupela.

Kwa mujibu wa watu wa karibu na wawili hao, mara tu baada ya kufika hotelini hapo, Jokate alimfuata mama Kiba na kumsalimia kwa heshima zote kabla ya kuelekea kwa ndugu wengine wa Kiba kisha kurejea kwenye meza ya mzazi huyo.
Mfuatiliaji makini wa tukio hilo aliliambia Ijumaa Wikienda kwamba, Jokate alilazimika kumwangukia mama Kiba ili anusuru hali ya hatari iliyokuwa tayari imeshatokea katika penzi hilo.

“Wewe…(jina la mwandishi wetu) hukujua kinachoendelea, Jokate kamwangukia mama Kiba ndiyo maana umeona ndugu wengine wakiwa karibu kwa muda mrefu ndipo Kiba akaitwa ili akae na Jokate. Si unaona wanapiga stori na kucheka? Sasa hivi mambo safi na mapenzi ni kama zamani,” alisema mmoja wa watu wa karibu wa mastaa hao aliyejua mchongo mzima uliokuwa ukiendelea.

Mbali na maelezo ya mtu huyo, paparazi wetu alibahatika kujionea kwa jicho lake Jokate akiwa ‘klozi’ na mama Kiba na ndugu wengine.Pia mwanahabari wetu aliwashuhudia Jokate na Kiba wakiwa na nyuso za furaha wakifurahia mafanikio ya Video ya Lupela ambayo walisema itafika mbali kutokana na viwango vyake.

Wakati wa kuondoka eneo hilo, Jokate ndiye aliyetangulia kuondoka eneo hilo akiwa ameongozana na marafiki zake na muda kidogo baadaye Kiba alifuata naye akiwa na ndugu zake wengine na kuondoka kwa pamoja.

Na Musa Mateja, Wikienda - GPL

Jokate amwangukia mama Kiba

simple maternity wear

Mtoto wa WEMA na IDRISA aanza kugombewa na Makampuni ya biashara

Putting it all behind them: Kim Kardashian posted a friendly Instagram selfie of herself and Amber Rose on Tuesday - following Amber's very public Twitter spat with Kim's husband Kanye West

Full story click here

'Tea, anyone?' Kim Kardashian and Amber Rose send social media into meltdown as they pose for friendly selfie after THAT explicit Kanye jibe


Hatimaje siku za hivi Karibuni msanii maarufu wa kike wa filamu za Kibongo Aunt Ezekiel ameonekana akiwa ndani ya shela a.k.a gauni la harusi, hali hiyo imezua maswali mengi kwa baadhi ya watu baada ya msanii huyo kufunga ndoa na kutopatikana kwa taarifa za kuachika kwake na mume wa kwanza .

Aunt Ezekiele aolewa tena?