Kwa sasa Muziki wa Singeli ndio habari ya mjini........  Singeli ni muziki ulioibuka kwa kasi na kujizolea mashabiki wengi na kuibua vipaji vingi.

Pamoja na  kuonekana kufanya vizuri  sokoni  na kuamsha ari ya baadhi ya watu kutaka kuingia huko baadhi ya wakongwe wa muziki akiwemo Juma Nature amedai muziki huo hautadumu....... Juma Nature alimwaga ubuyu huo wiki iliyopita alipofanya mazungumzo alipokuwa kwenye studio zake za Halisi Records aliachia ngoma yake mpya iitwayo Mtumba.... "Singeli ni muziki ambao hautoishi kwa muda mrefu bali unapita tu kwa sababu ni muziki wa kihuni" ......“Singeli itapita tu kwasababu ya uhuni,” alisema. “Unajua raia wengi wa Bongo hawapendi mambo ya kipumb*vu pumb*vu na mashabiki wetu wengi sana sio wahuni ila wahuni wanakuja katika hizi section, so wakija kwenye section hapo muziki hakuna tena,”  

Juma Nature atabiri kifo cha muziki wa Singeli


Kwa sasa Muziki wa Singeli ndio habari ya mjini........  Singeli ni muziki ulioibuka kwa kasi na kujizolea mashabiki wengi na kuibua vipaji vingi.

Pamoja na  kuonekana kufanya vizuri  sokoni  na kuamsha ari ya baadhi ya watu kutaka kuingia huko baadhi ya wakongwe wa muziki akiwemo Juma Nature amedai muziki huo hautadumu....... Juma Nature alimwaga ubuyu huo wiki iliyopita alipofanya mazungumzo alipokuwa kwenye studio zake za Halisi Records aliachia ngoma yake mpya iitwayo Mtumba.... "Singeli ni muziki ambao hautoishi kwa muda mrefu bali unapita tu kwa sababu ni muziki wa kihuni" ......“Singeli itapita tu kwasababu ya uhuni,” alisema. “Unajua raia wengi wa Bongo hawapendi mambo ya kipumb*vu pumb*vu na mashabiki wetu wengi sana sio wahuni ila wahuni wanakuja katika hizi section, so wakija kwenye section hapo muziki hakuna tena,”  

No comments:

Post a Comment