Aliyewahi kuwa kocha wa Simba James Aggrey Siang’a amefariki leo alfajiri nchini kwake Bungoma nchini Kenya baada ya kuugua kwa muda mrefu. Siang’a alikuwa ni miongoni mwa makocha walioheshimika sana Afrika Mashariki.
Kwa mujibu wa afisa wa Chama cha Kefoca, Bob Oyugi, Siang’a ambaye aliwahi kuchezea Gor Mahia, Luo Union na timu ya taifa Kenya Harambee Stars kama kipa, pia aliwahi kuwa kocha wa klabu za Simba, Moro United na Express ya Uganda.
Siang’a aliidakia Kenya katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 1972 na pia alikuwa kocha wa Harambee Stars mwaka 1999 na 2000, kabla ya kuhamia Tanzania kufundisha Simba, Mtibwa Sugar, Moro United na timu ya taifa ya Bara kwa muda mfupi mwaka 2002.
Mashabiki wa Simba SC watamkumbuka zaidi Sianga baada ya kuipa timu taji la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati visiwani Zanzibar mwaka 2002, kabla ya kuunda kikosi imara cha vijana wadogo kilichokuwa tishio katika soka ya Tanzania muongo wote huo.
Akiwa na Moro United Oktoba 2004 Siang’a aliombwa kuinoa Taifa Stars lakini alikataa. Siang’a pia aliinoa Mtibwa Sugar kabla ya kurejea Kenya kuifundisha timu ya Gor Mahia.
Siang’a ndiye aliyeiwezeha Simba SC kuitoa Zamalek ya Misri waliokuwa mabingwa wa Afrika katika hatua ya 16 Bora na kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
“Tumempoteza mtu wetu sana, Siang’a. Mchezaji wa zamani wa kimataifa amefariki ijumaa usiku kwa mujibu wa familia yake. Tunasubiri taarifa zaidi kutoka kwao ili kuendelea na hatua nyingine. Mwili wake upumzishwe kwa amani,” alisema Oyugi.
Kikosi hicho kilikuwa kikiundwa na vijana kama Said Swedi, Ramazani Wasso, Boniface Pawasa, Victor Costa, Lubigisa Madata, Suleiman Matola, Primus Kasonzo, Christopher Alex, Shekhan Rashid, Ulimboka Mwakingwe, Emmanuel Gabriel na Athumani Machuppa.
Sianga alizitoa BDF XI ya Botswana, Santos ya Afrika Kusini kabla ya Zamalek. Santos aliitoa kwa penalti 9-8 baada ya sare ya jumla 0-0 na Zamalek pia aliitoa kwa penaliti 3-2, baada ya sare ya jumla ya 1-1 kila timu ikishinda 1-0 nyumbani kwake.
Simba ikapangwa Kundi A pamoja na Ismailia ya Misri, Enyimba ya Nigeria na ASEC ya Ivory Coast na ikafanikiwa kushinda mchi mbili na kutoa sare moja.
Ilishinda 1-0 dhidi ya ASEC, 2-1 dhidi ya Enyimba na sare ya 0-0 na Ismailia katika mechi za nyumbani Uwanja wa Taifa, (sasa Uhuru), Dar es Salaam.
Katika mechi za ugenini, Simba SC ilifungwa 3-0 na Enyimba, 2-1 na Ismaili na 4-3 na ASEC. Kituko kikubwa cha kukumbukwa cha Siang’a ni pale alipompiga kichwa aliyekuwa kocha wa SC Villa, Mserbia Milutin Sredejevic ‘Micho’ kwenye fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame Simba SC ikilala 1-0 Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda.
Micho alikwenda kwenye benchi la Simba kumsalimia Siang’a aliyekuwa ana hasira za kipigo na kukosa Kombe na pia akilalamikia bao la Mkenya mwenzake, Vincent Tendwa aliyemalizia krosi ya kiungo Mtanzania, Shaaban Kisiga ‘Malone’ lilikuwa la kuotea – lakini akaambulia ‘ndoo’.
Kabla ya Micho kujibu, wawili hao wakatenganishwa na sherehe za ubingwa zikachukua nafasi yake Namboole.
Baada ya kuondoka Simba alifichua mpango wa kufuatwa na kiongozi mmoja wa klabu wakati huo kumshawishi wapokee hongo ya Zamalek timu ifungwe mwaka 2003.
Siang’a alidai alikataa na akaiongoza Simba kuitoa Zamalek, lakini kilichofuatwa ni kufukuzwa kwenye timu kwa chuki za kiongozi huyo mwenye asili ya Kiasia. Mungu ampumzishe kwa amani gwiji huyo wa soka Kenya.
GPL
Tanzia: Aliyewahi Kuwa Kocha wa Simba, James Siang’a afariki Dunia
By Unknown
Solange Knowles is firing back at "haters" after she was reportedly treated rudely by a group of women at an EDM concerrt.
The 30-year-old singer-songwriter took to Twitter to share an interaction she had with a group of "4 white women" at a Kraftwerk concert at Orpheum Theater in New Orleans on Friday night. After the women reportedly told her to stop dancing and even went so far as to throw a lime at her, Beyoncé's little sister explained what it is like being a black woman in "white spaces."
The star said she was among "about 20 black concert goers out [of] 1500" attending the electronic dance music event. She was there to listen to some of her favorite music with her husband Alan Ferguson, her 11-year-old son Daniel Julez Smith, Jr. and Daniel's friend.
But according to Knowles, things took a negative turn after the women complained about her dancing at the concert.
Solange Knowles Fires Back After Being Told to Stop Dancing at Concert
By Unknown
Msanii wa bongo flava Mr. Blue ambaye hivi karibuni alipatwa na msuko suko wa kuyumba kwa ndoa yake, kutokana na kusambaa kwa tetesi za kuwasiliana na ex wake Najma Dartan, amesema yuko tayari kumchukulia hatua za kisheria aliyesababisha ugomvi huo.
Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mr. Blue amesema yeye binafsi hakuwasiliana na Naj, isipokuwa habari hizo zilipoanza alidhani ni kiki inayotengenezwa na Naj na Baraka The Prince, ili kuachia wimbo wao wa pamoja.
Mr. Blue aliendelea kusema kuwa baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya na ndoa yake kuwa mashakani, aliamua kumfuata Baraka na kumuuliza kuhusu suala hilo, lakini Baraka alikanusha na kusema yeye hajui chochote kuhusu hilo.
"Ile habari ilikuwa ya uongo, mwanzoni mi nilihisi Baraka na mchumba wake Najma watakuwa wameitengeneza kwa ajili ya mambo yao ya kutafuta kiki, kwa sasabu ilisemekana kuna nyimbo yao wanataka kutoa Baraka na Najma, kwa hiyo wanatafuta kama kiki kutumia ubavu wangu, nikabahatika kukutana na Baraka na kumshika mkono, na kumwambia akubali mbele za watu, akasema hajui hiyo taarifa", alisema Mr. Blue.
Mr. Blue aliendelea kusema kitendo hicho amabcho kiliyumbisha ndoa yake hawezi kukifanya kwa sababu tayari ana mke, na hawezi kurudiana na mtu ambaye alishaachana naye, na iwapo ikithibitika ni wao kina Baraka na Najma ndio wametengeneza habari hiyo ili kupata kiki, hatosita kuwachukulia hatua za kisheria.
"Hatua za kisheria lazima zichukuliwe unajua hivi vitu sio vitu vya kuharibiana, mi sa hivi nishakuwa mtu mzima, siwezi kurudia matapishi ambayo nishawahi kuyatapika, eti nikampigie Najma sijui niwe nae, kwa sababu mimi najua mke wa kumuoa najua mwanamke wa kuwa naye ndio maana nikamchagua mke wangu, na nampenda na amenizalia watoto wazuri, kwa hiyo siwezi tena kufikiria eti kumpigia Najma, siwezi kufikiria kugombana na Baraka The Prince, kwanza hatulingani, mi wakati naanza mziki ye bado yuko shule anasoma, kama ni kweli ni wao japokuwa Baraka amenithibitishia sio wao, nikijua ni wao lazima nitafute njia ya kuwashikisha adabu", alisema Mr. Blue
Udaku Special
Picha : Mtandao
Mr Blue kuuwachukulia Sheria Naj na Baraka da Prince kwa Kuivuruga Ndoa yake?
By Unknown
- The Jamaican sprinter had a wild week after the end of the Games, but all looks forgiven
He spent last week partying with a bevy of babes in Rio and London, but it looks like his wild antics haven't put off girlfriend Kasi Bennett.
The nine time Olympic champion shared a picture of the happy couple to SnapChat on Friday, appearing to confirm that they're still going strong.
Captioned "And it begins" the Jamaican sprinter can be seen in a pair of dark sunglasses and a backwards white hat, while his girlfriend sits next to him.
Usain confirmed he had been dating a special someone for two years in January this year, but Kasi's identity wasn't revealed until the Olympic Games in Rio last month.
Just days after achieving the triple triple, Bolt turned 30 and went on a week long worldwide bender.
After first hitting the clubs of Rio, he headed to London where he partied until the early hours for five days in a row.
Usain wasn't alone during his wild party antics and was accompanied with a gaggle of girls back to his hotel most nights.
According to one report from inside Bolt's hotel, the Olympian wasn't shy about showing off his gold.
According to The Sun , the star made them stand as if they were on a podium as he took out his medals out of a bag and dished them out.
“It’s all gold. There are no losers," he's believed to have said to a girl who asked who was number one.
“Usain had been partying at Tape nightclub and was in a really cheeky mood," a source told the newspaper.
“At first everyone was just goofing around but he started complimenting some of the ladies on their cleavage and encouraged two to flash him and a pal.
“Then he dished out his medals while music played from his iPhone. He was laughing a lot, pretending it was like Rio.”
At the time Kasi hinted she was done with Usain over his hard partying.
Shortly after the star was pictured hitting the clubs for the fourth night in a row, Kasi wrote on Twitter "#SelfControl".
Replying to one follower who said: "I want @kasi_b's level of self control," she replied: "Not easy."
Kasi, who Usain refers to as his 'First Lady', previously appeared to hint at the Olympic champ's antics as she liked a tweet which read: "You traded your life with a goddess for a one night fling with someone who will never even come close."
Mirror
Usain Bolt and girlfriend Kasi Bennett back together despite claims he bedded Rio student before wild partying in London
By Unknown
STAA wa Bongo filamu nchini, Shamsa Ford mchana huu amefunga ndoa na Rashidi Said ‘Chidi Mapenzi’ ambaye ni mfanyabiashara wa maduka ya nguo.
Sherehe za ndoa hiyo zimefanyika nyumbani kwa wazazi wa Shamsa eneo la Sinza, Afrikasana jijini Dar es Salaam.
Awali, Shamsa alidumu katika penzi na Dickson Matoke ‘Dick’ na kufanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume aitwaye Terry na kisha kufunga ndoa ya kimila nyumbani kwa mwanaume huyo, Tarime mkoani Mara ila baadaye waliachana na kuangukia kwa staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambaye penzi lao halikudumu.
GPL
Shamsa Ford Afunga Ndoa na Chidi Mapenzi
By Unknown
Subscribe to:
Posts (Atom)

















