Angalia moja ya kazi ya WEMA aliyofanya na M-bebi wa IDRISA

Mwaka 2016 umeanza vizuri  na kuwa wa neema kwa WEMA  SEPETU na M-bebi wake IDRISA baada ya kuwepo wa tetesi kuwa Makampuni kama 3 hivi ya biashara zimeshajitokeza kutaka kumtumia mtoto wao anayetarajiwa kuzaliwa mwaka huu.

Wadau wa mjini wanasema kampuni hizo ambazo hadi sasa majina yapo kapuni inasemekana kuanza  mazungumzo ya awali na Wema, imefahamika kuwa Makampuni hayo yana shauku kubwa ya kufanya biashara na mtoto huyo mtarajiwa maana wanahisi atakuwa kivutio kikubwa katika jamii kama walivyo wazazi wake. ( WEMA na IDRISA).

Inasemakana pia kuna baadhi ya maduka ya nguo yamejitokeza na kuonesha nia ya kutaka kumvalisha  mtoto huyo kwa  mwaka mzima.....   

Kama ilivyo ada Wema alitafutwa ili aweze kuthibitisha haya , kama kawaida yake alicheka na kudai atazungumzia habari hiyo muda muafaka ukifika ila kwa sasa hawezi kusema chochote “Kwa sasa ni mapema mno kuzungumzia hilo jambo, nitaweka wazi baadaye,” alisema Wema

Mtoto wa WEMA na IDRISA aanza kugombewa na Makampuni ya biashara






Angalia moja ya kazi ya WEMA aliyofanya na M-bebi wa IDRISA

Mwaka 2016 umeanza vizuri  na kuwa wa neema kwa WEMA  SEPETU na M-bebi wake IDRISA baada ya kuwepo wa tetesi kuwa Makampuni kama 3 hivi ya biashara zimeshajitokeza kutaka kumtumia mtoto wao anayetarajiwa kuzaliwa mwaka huu.

Wadau wa mjini wanasema kampuni hizo ambazo hadi sasa majina yapo kapuni inasemekana kuanza  mazungumzo ya awali na Wema, imefahamika kuwa Makampuni hayo yana shauku kubwa ya kufanya biashara na mtoto huyo mtarajiwa maana wanahisi atakuwa kivutio kikubwa katika jamii kama walivyo wazazi wake. ( WEMA na IDRISA).

Inasemakana pia kuna baadhi ya maduka ya nguo yamejitokeza na kuonesha nia ya kutaka kumvalisha  mtoto huyo kwa  mwaka mzima.....   

Kama ilivyo ada Wema alitafutwa ili aweze kuthibitisha haya , kama kawaida yake alicheka na kudai atazungumzia habari hiyo muda muafaka ukifika ila kwa sasa hawezi kusema chochote “Kwa sasa ni mapema mno kuzungumzia hilo jambo, nitaweka wazi baadaye,” alisema Wema

No comments:

Post a Comment