Kajala Masanja mwenye umri wa miaka 33, anadaiwa kuwa na mahusiano  Quick Rocka ambaye ana miaka 28.

Zuwena Mohammed ‘Shilole’ mwenye umri wa miaka 30, anatoka na msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Nedy Music mwenye umri wa miaka 20.

 Vanessa Mdee ‘V-Money’ mwenye umri wa miaka 28 anasemekana kuwa anatoka na Juma Khalid ‘Jux’ ambaye naye ana umri wa miaka 28 lakini  inasemekana Vanessa kamzidi  JUX  miezi kadhaa.

 
Riyama Ally ana umri wa miaka 30 lakini anadaiwa kuwa na mahusiano  na Leo Mysterio mwenye umri wa miaka 26.

Aunt Ezekiel Grayson mwenye umri wa miaka 29  mzazi mwenziye Mose Iyobo ana umri wa miaka 23.

Zarinah Hassan ‘The Boss Lady’  aka Mama yake Tiffa ana  umri wa miaka 35 ilihali mzazi mwenziye Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz  ana umri wa miaka 26.

Umri sio kitu mapenzi ndio kila kitu ........

Kajala Masanja mwenye umri wa miaka 33, anadaiwa kuwa na mahusiano  Quick Rocka ambaye ana miaka 28.

Zuwena Mohammed ‘Shilole’ mwenye umri wa miaka 30, anatoka na msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Nedy Music mwenye umri wa miaka 20.

 Vanessa Mdee ‘V-Money’ mwenye umri wa miaka 28 anasemekana kuwa anatoka na Juma Khalid ‘Jux’ ambaye naye ana umri wa miaka 28 lakini  inasemekana Vanessa kamzidi  JUX  miezi kadhaa.

 
Riyama Ally ana umri wa miaka 30 lakini anadaiwa kuwa na mahusiano  na Leo Mysterio mwenye umri wa miaka 26.

Aunt Ezekiel Grayson mwenye umri wa miaka 29  mzazi mwenziye Mose Iyobo ana umri wa miaka 23.

Zarinah Hassan ‘The Boss Lady’  aka Mama yake Tiffa ana  umri wa miaka 35 ilihali mzazi mwenziye Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz  ana umri wa miaka 26.

No comments:

Post a Comment